Kigogo Media
Habari 100
MATUKIO PICHANI IKIWA NI SIKU YA 45/60 YA KAMPENI ZA CCM, GEITA
KATORO LEO Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Katoro katika mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu leo Oktoba 13, 2025. #Kigogo ....
DKT. NCHIMBI ALIPOHITIMISHA KAMPENI ZA KUMUOMBEA KURA DK.SAMIA MKOANI TABORA
TUJIKUMBUSHE , MGOMBEA mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi amehitimisha mikutano yake ya hadhara ya kampeni katika Mkoa wa Tabora huku akiacha u ....
RAIS DKT MWINYI ALIPOKUTANA NA KUNDI LA VIJANA WA UVCCM
Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema wakati umefika kwa Vijana ....
RAIS MWINYI NA WAKANDARASI WA SEKTA YA UJENZI ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi ameizindua Jumuiya ya Wakandarasi wa Sekta ya Ujenzi Zanzibar na kuahidi Serikali kuendelea kushirikiana na Wadau w ....
TARURA YATEKELEZA MIRADI MIKUBWA YA MIUNDOMBINU YA BARABARA YA BILIONI 302.95
Dodoma ▪️Katika kipindi cha Miaka Minne Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amesema katika kipindi cha miaka minne (4) ya Serikali ya ....