Habari za Mikoani

News15 days ago

KIGOMA KUWA KITOVU CHA FURSA ZA BIASHARA BAADA YA UJENZI WA SGR TABORA–KIGOMA : RAIS SAMIA ABAINISHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania ina nafasi kubwa ya kuwa kituo kikubwa cha biashara barani Afrika kutokana na rasilimali na fursa ilizonazo. ....

News15 days ago

WAZIRI MAVUNDE AANZA ZIARA RASMI KUKAGUA SHUGHULI ZA MAENDELEO NA KUCHOCHEA SHUGHULI ZA KIUCHUMI MKOANI GEITA*

▪️ Waziri Mavunde ni Mlezi wa shughuli za kimaendeleo mkoani Geita ▪️ Akagua mradi wa maji wa Bilioni 40 ambao utanufaisha watu 185,000 ▪️ Akagua mradi wa vijana wa ujenzi wa kiwanda cha kuchenju ....

News15 days ago

VIJANA 400 WAPEWA LESENI ZA UCHIMBAJI MADINI WILAYANI KWIMBA MKOANI MWANZA.

▪️Ni Maelekezo ya Rais Samia kufuta Leseni zisizo fanyiwa kazi na kuwapa wachimbaji wadogo ▪️Ni Leseni kubwa ya Utafiti (Ekari 5,441) iliyofutwa na kurudishwa Serikalini ▪️Waziri Mavunde aelekeza ....

News10 months ago

RAIS MWINYI NA WAKANDARASI WA SEKTA YA UJENZI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi ameizindua Jumuiya ya Wakandarasi wa Sekta ya Ujenzi Zanzibar na kuahidi Serikali kuendelea kushirikiana na Wadau w ....

News10 months ago

TARURA YATEKELEZA MIRADI MIKUBWA YA MIUNDOMBINU YA BARABARA YA BILIONI 302.95

Dodoma ▪️Katika kipindi cha Miaka Minne  Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amesema katika kipindi cha miaka minne (4) ya Serikali ya ....

News10 months ago

RAIS DKT. SAMIA YUPO TAYARI KUFANYA MAMBO MAKUBWA KWA WENYE ULEMAVU-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan yupo tayari kuendelea kufanya mambo makubwa kwa watu wenye ulemavu ili kukuza ustawi wa jamii hiyo kwa kuwawezesha kushi ....

Newsa year ago

MAJALIWA ATAKA MIKAKATI ZAIDI MATUMIZI YA 

NISHATI SAFI KWENYE MAGEREZA. *Asema Rais Dkt. Samia ameonesha njia kwenye matumizi ya nishati safi. *Alipongeza Jeshi la Magereza kwa kuanza kutekeleza kwa vitendo matumizi ya nishati safi. W ....

Newsa year ago

MRADI WA TACTIC WAIMARISHA HUDUMA ZA USAFIRI NA USAFIRISHAJI MANISPAA YA SUMBAWANGA

Sumbawanga, Rukwa ▪️ Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC)  unaelezwa kuimarisha huduma za usafiri na usafirishaji katika Halmashauri ya Manispaa ya  Su ....

Newsa year ago

RAIS DKT. MWINYI AFUNGUA JENGO JIPYA NA LA KISASA LA AFISI KUU YA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Jengo jipya na la kisasa la Afisi Kuu ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) lililopo Maisar ....

Newsa year ago

RAIS MWINYI NA AFRICA SUMMIT 2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar itaendelea kuwa daraja muhimu la kuiunganisha Afrika na Ulimwengu katika masuala y ....