Siasa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumpa dhamana ya kuwa msaidiz [...]
MAKAMU WA RAIS AWASALIMU WANANCHI WA JIMBO LA CHAMWINO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumpa dhamana ya kuwa msaidizi ....
RAIS SAMIA AMTAKA MAKAMU WA RAIS KUTUMIKIA NCHI KWA UAMINIFU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemtaka Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius John Ndejembi, kuitumikia nchi kwa utii, uam ....
MATUKIO PICHANI IKIWA NI SIKU YA 45/60 YA KAMPENI ZA CCM, GEITA
KATORO LEO Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Katoro katika mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu leo Oktoba 13, 2025. #Kigogo ....
DKT. NCHIMBI ALIPOHITIMISHA KAMPENI ZA KUMUOMBEA KURA DK.SAMIA MKOANI TABORA
TUJIKUMBUSHE , MGOMBEA mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi amehitimisha mikutano yake ya hadhara ya kampeni katika Mkoa wa Tabora huku akiacha u ....
RAIS DKT MWINYI ALIPOKUTANA NA KUNDI LA VIJANA WA UVCCM
Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema wakati umefika kwa Vijana ....
HIZI HAPA AHADI ZA DKT. SAMIA AMEHIDI GEITA VIJIJINI , AIGUSA SEKTA YA AFYA HUDUMA ZAIDI ZA MATIBABU NA VIPIMO
GEITA Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendelea kusogeza huduma za afya karibu zaidi na ....
DAY 45/60 YA KAMPENI ZA CCM
KATORO LEO Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Katoro katika mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu leo Oktoba 13, 2025. #KigogoM ....
HAYA NI MAFURIKO YA CCM
(Day 4/60 ya kampeni za CCM) Wananchi wa Wilaya ya Kondoa Mkoa wa Dodoma wamefurika katika Viwanja vya Puma kumsubiri Mgombea urais kupitia CCM Ndugu Dkt.Samia Suluhu Hassan ikiwa ni mwendelez ....
RAIS SAMIA AKIPIGA’SELFIE’ NA WANANCHI WA KIBAIGWA
Kibaigwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga picha ya ‘Selfie’ na maelfu ya Wananchi wa Kibaigwa M ....
RAIS MWINYI AMECHUKUA FOMU YA KUGOMBEA NAFASI YA URAISI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ambaye pia ni Mgombea Mteule wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amechukua fomu ya kugo ....











