Habari za Mikoani
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango, leo tarehe 29 Juni 2025 amewasili nchini Hispania ambapo anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tan [...]
MAKAMU WA RAIS AWASILI NCHINI HISPANIA KUMWAKILISHA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango, leo tarehe 29 Juni 2025 amewasili nchini Hispania ambapo anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanz ....
TUTAENDELEA KUILINDA NA KUIDUMISHA AMANI NCHINI-MAJALIWA
*Asema falsafa ya 4R ya Rais Dkt. Samia imekuwa msingi imara wa kulinda amani. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kuweka mkazo katika kulinda na kudumisha amani nchi ....
BUNGE LARIDHIA MAREKEBISHO YA MPAKA WA HIFADHI YA TAIFA NYERERE.
Bunge limeridhia ombi la Serikali la kumega sehemu ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere kwa lengo la kutatua migogoro ya mipaka na kuwezesha shughuli za maendeleo kuendelea katika mazingira rafiki k ....
DODOMA KUANDIKA HISTORIA MPYA YA USAFISHAJI WA SHABA
Dodoma ▪️Kiwanda cha Shengde chakaribia kuanza uzalishaji rasmi mwezi Julai Mkoa wa Dodoma unajiandaa kuandika historia mpya katika sekta ya usafishaji wa madini, kufuatia hatua za mwisho za uj ....
RAIS MWINYI AWASILI JIJINI DODOMA
Dodoma Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar na kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma, ambapo amepokelewa na Mkuu wa Mkoa w ....
WAZIRI MKUU: TANZANIA SIYO MAHALI SALAMA KWA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa onyo kwa wasambazaji na wauzaji wa dawa za kulevya kwamba Tanzania siyo mahali pa kufanyia biashara zao. Waziri Mkuu ambaye amefunga maadhimisho ya Siku ya K ....
RAIS MWINYI ATUNUKU KAMISHENI KWA MAAFISA WAPYA WA IDARA MAALUM ZA SMZ
Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Kamanda Mkuu wa Idara Maalum za SMZ, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewatunuku Kamisheni Maafisa ....
RAIS DKT. SAMIA AMEKUWA KIONGOZI WA KUFANIKISHA MAENDELEO NCHINI-MAJALIWA
Asema ni Rais Dkt. Samia ni Mwalimu wa subira na kielelezo cha ujasiri. Asisitiza utendaji wa Rais Samia umeiheshimisha Tanzania ndani na nje ya nchi. Awapongeza watendaji wa Serikali kutekele ....
MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA KITUO CHA UMAHIRI CHA MATIBABU CHA AFRIKA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amepongeza uwepo wa kituo cha Umahiri cha Matibabu cha Afrika (AMCE) ambacho amesema kitakua mfano kwa bara la Af ....
WAZIRI MKUU AAGIZA MAAFISA MASUULI WA SERIKALI KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA BAJETI YA 2025/2026
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Masuuli katika ngazi zote za umma kuzingatia vipaumbele vilivyoanishwa kwenye Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2025/2026 iliyopitishwa na bung ....