Habari za Mikoani

News8 days ago

RAIS MWINYI NA WAKANDARASI WA SEKTA YA UJENZI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi ameizindua Jumuiya ya Wakandarasi wa Sekta ya Ujenzi Zanzibar na kuahidi Serikali kuendelea kushirikiana na Wadau w ....

News8 days ago

TARURA YATEKELEZA MIRADI MIKUBWA YA MIUNDOMBINU YA BARABARA YA BILIONI 302.95

Dodoma ▪️Katika kipindi cha Miaka Minne  Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amesema katika kipindi cha miaka minne (4) ya Serikali ya ....

News8 days ago

RAIS DKT. SAMIA YUPO TAYARI KUFANYA MAMBO MAKUBWA KWA WENYE ULEMAVU-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan yupo tayari kuendelea kufanya mambo makubwa kwa watu wenye ulemavu ili kukuza ustawi wa jamii hiyo kwa kuwawezesha kushi ....

News2 months ago

MAJALIWA ATAKA MIKAKATI ZAIDI MATUMIZI YA 

NISHATI SAFI KWENYE MAGEREZA. *Asema Rais Dkt. Samia ameonesha njia kwenye matumizi ya nishati safi. *Alipongeza Jeshi la Magereza kwa kuanza kutekeleza kwa vitendo matumizi ya nishati safi. W ....

News2 months ago

MRADI WA TACTIC WAIMARISHA HUDUMA ZA USAFIRI NA USAFIRISHAJI MANISPAA YA SUMBAWANGA

Sumbawanga, Rukwa ▪️ Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC)  unaelezwa kuimarisha huduma za usafiri na usafirishaji katika Halmashauri ya Manispaa ya  Su ....

News3 months ago

RAIS DKT. MWINYI AFUNGUA JENGO JIPYA NA LA KISASA LA AFISI KUU YA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Jengo jipya na la kisasa la Afisi Kuu ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) lililopo Maisar ....

News3 months ago

RAIS MWINYI NA AFRICA SUMMIT 2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar itaendelea kuwa daraja muhimu la kuiunganisha Afrika na Ulimwengu katika masuala y ....

News3 months ago

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MABARAZA HURU YA HABARI AFRIKA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema  wakati umefika kwa wanahabari wa Kiafrika kuonesha taswira nzuri ya Bara la Afrika kwa kuandik ....

News3 months ago

MRADI WA KITUO CHA KUPOZA UMEME KILOLENI MKOANI TABORA UMEFIKIA ASILIMIA 80 -MD TWANGE

Tabora Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa kituo cha kupoza umeme cha Kiloleni kilichopo Mkoani Tabora ambapo amesem ....

News4 months ago

MAKAMU WA RAIS AWASILI NCHINI HISPANIA KUMWAKILISHA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango, leo tarehe 29 Juni 2025 amewasili nchini Hispania ambapo anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanz ....