Habari za Mikoani
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi ameizindua Jumuiya ya Wakandarasi wa Sekta ya Ujenzi Zanzibar na kuahidi Serikali kuendelea kushirikiana na Wadau [...]
RAIS MWINYI NA WAKANDARASI WA SEKTA YA UJENZI ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi ameizindua Jumuiya ya Wakandarasi wa Sekta ya Ujenzi Zanzibar na kuahidi Serikali kuendelea kushirikiana na Wadau w ....
TARURA YATEKELEZA MIRADI MIKUBWA YA MIUNDOMBINU YA BARABARA YA BILIONI 302.95
Dodoma ▪️Katika kipindi cha Miaka Minne Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amesema katika kipindi cha miaka minne (4) ya Serikali ya ....
RAIS DKT. SAMIA YUPO TAYARI KUFANYA MAMBO MAKUBWA KWA WENYE ULEMAVU-MAJALIWA
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan yupo tayari kuendelea kufanya mambo makubwa kwa watu wenye ulemavu ili kukuza ustawi wa jamii hiyo kwa kuwawezesha kushi ....
MAJALIWA ATAKA MIKAKATI ZAIDI MATUMIZI YA
NISHATI SAFI KWENYE MAGEREZA. *Asema Rais Dkt. Samia ameonesha njia kwenye matumizi ya nishati safi. *Alipongeza Jeshi la Magereza kwa kuanza kutekeleza kwa vitendo matumizi ya nishati safi. W ....
MRADI WA TACTIC WAIMARISHA HUDUMA ZA USAFIRI NA USAFIRISHAJI MANISPAA YA SUMBAWANGA
Sumbawanga, Rukwa ▪️ Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) unaelezwa kuimarisha huduma za usafiri na usafirishaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Su ....
RAIS DKT. MWINYI AFUNGUA JENGO JIPYA NA LA KISASA LA AFISI KUU YA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Jengo jipya na la kisasa la Afisi Kuu ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) lililopo Maisar ....
RAIS MWINYI NA AFRICA SUMMIT 2025
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar itaendelea kuwa daraja muhimu la kuiunganisha Afrika na Ulimwengu katika masuala y ....
MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MABARAZA HURU YA HABARI AFRIKA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema wakati umefika kwa wanahabari wa Kiafrika kuonesha taswira nzuri ya Bara la Afrika kwa kuandik ....
MRADI WA KITUO CHA KUPOZA UMEME KILOLENI MKOANI TABORA UMEFIKIA ASILIMIA 80 -MD TWANGE
Tabora Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa kituo cha kupoza umeme cha Kiloleni kilichopo Mkoani Tabora ambapo amesem ....
MAKAMU WA RAIS AWASILI NCHINI HISPANIA KUMWAKILISHA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango, leo tarehe 29 Juni 2025 amewasili nchini Hispania ambapo anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanz ....