Habari za Mikoani

News12 days ago

RAIS MWINYI AKUTANA NA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Zanzibar kujadili Mustakabali wa Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu wa M ....

News14 days ago

WAKURUGENZI WAHIMIZWA  KUTENGA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA MIRADI

Bungeni, Dodoma Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba amesema serikali itaendelea kusimamia Halmashauri zote nchini ili ziweze kutimiza majukumu ya msingi ya kutumia mapato ....

News14 days ago

ZINGATIAENI VIWANGO NA UBORA WA HUDUMA ZA AFYA  – DKT MFAUME.

Mkurugenzi wa Idara ya Afya,  Lishe na Ustawi wa Jamii,  Ofisi ya Rais TAMISEMI  Dkt. Rashid Mfaume amewataka watumishi wa afya katika ngazi ya msingi kuzingatia ....

News14 days ago

KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE TABORA KUZALISHA AJIRA, KUKUZA UCHUMI WA NCHI – DKT. BITEKO

Dkt. Biteko aweka Jiwe la Msingi Ujenzi Kiwanda cha Nguzo za Zege   Awataka wananchi Tabora kutogawanyika wakati Uchaguzi Mkuu  Asema maono ya Rais Samia ni viongozi kuwasaidia ....

News14 days ago

RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KULETA SERIKALI KWA WANANCHI ILI KULETA MAENDELEO – MHE. MCHENGERWA

Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ....

News16 days ago

SERIKALI INATHAMINI KAZI INAYOFANYWA NA SEKTA BINAFSI-MAJALIWA

Dar es Salaam WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inathamini kazi kubwa inayofanywa na sekta binafsi katika kuimarisha ustawi wa jamii nchini. Amesema hayo leo Ijumaa (Mei 02, 2 ....

News16 days ago

RAIS MWINYI:TUSIMAMIE MALEZI NA MAADILI YA VIJANA NA WATOTO.

Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi  amezitaka familia  kuweka dhamira ya Kusimamia  Malezi ya Vijana na Watoto ....

News16 days ago

SEKTA YA NISHATI IPO SALAMA CHINI YA RAIS SAMIA – DKT. BITEKO

📍Urambo, Tabora  ▪️Akagua Kituo cha Kupoza umeme – Urambo ▪️Amshukuru mama Sitta kwa mchango wake katika mradi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemshukur ....

News16 days ago

MWENGE WAPITA MUFINDI, MRADI WA REA WA BILIONI 17 WAZINDULIWA

Mufindi – Iringa ▪️Rais Samia aipongeza REA utekelezaji miradi ya umeme vijijini ▪️Kiongozi wa Mwenge ahamasisha matumizi ya nishati safi na salama Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kita ....

News16 days ago

HALMASHAURI ZATAKIWA KUSIMAMIA SHERIA YA MAZINGIRA

Serikali imezitaka halmashauri zote nchini kuendelea kusimamia kikamilifu Sheria ya Usimamizi wa Mazingira Sura 191 ili kuzuia uchimbaji wa mchanga kudhibiti kupanuka kwa mito huku ikiendelea ....